MAANDALIZI
MUHIMU YA KUITA KIUMBE UMTAKAE NA KUJIJENGA KIROHO
Njia ya utaftaji wa akili kamili, kulingana na uhitaji wako wa kummiliki jinni na njia hii itakusaidia sana
katika sayansi ya kiroho.
Kuna kinachojulikana kama utayari wa kukubali
mazoezi ya kupumua yafuatayo ambayo yatakuweka sawa kwanza wewe kiroho:
Zuia mawazo iwezekanavyo na kaa peke yako na udi
za harufu ya manukato yenye harufu nzuli na utulivu, Dakika tano.
Kisha unapumua kama ifuatavyo:
Sekunde 5 - sekunde 5 zilizofungiwa ,yaanibana
pumzi yako kwa sekunde 5, kisha achia pumzi kidogokidogo kwa sekunde tano hii
ni wiki ya kwanza, na utakua unafanyia palipo tulia kama vile kando na
bahari,mtoni,porinina kama ni nyumbani basi pawe mahali patulivu sana.
Kishautaendelea na zoezi hili wiki ya pili kwa
sekunde 9 na wiki ya 3 utafanya kwa sekunde 12. Wiki ya 4 utabana kwa dakika16.
Zoezi hili lifanyike zaidi ya mara 3 hadi 7
hadi 12 kwa kikao kimoja ili kuwahi kuijenga pumzi mapema.
Njia ya kupumua unaweza kuvuta pumzi katika pua
ya kulia na kisha kushikilia pumzi kwa sekunde hizo na kisha unapumuakwa pua ya
kushoto.
Na ukiona umetosha utaanza kuvuta pumzi kwa
kutumia pua ya kushpto na kuiachia pore pore kwa kutumia pua ya kulia,hii ndiyo
nzuli zaidi.
Pia zoezi hili haliitaji kufanyika wakati
umeshiba, na pia unaweza kulifanya kila baada ya swala kama wewe ni muislamu.
Wakati unafanya zoezi hili jikinge na kufanya
madhambi na pia fanya ibaada sana,ili kuongeza nguvu za kiroho.
Kumbuka wakati unapo maliza mazoezi kuna maneno
unayo takiwa kuyasema mara 313 na usiku utayasoma mara 1000 majina ambayo ndiyo
maneno yatakayokua watumishi wa kukusaidia kukuitia foho yeyote au jinni yeyote
umtakae na pia hata kabla hujaita jinni yeyote hawa majini tayali watakua ni
marafiki zako na unaweza kuwtuma chochote na wana fanya, kwa maana ya kwamba
hata kwa wale wenye kazi za tiba hakika njia hii ni ya kushangaza na utapata
wateja kwa wingi ka nguvu za tiba zitainuka.
Unapodumisha
hivyo, unapata utulivu wa kushangaza unaofurahisha uweko wako mzima na utulivu
katika mawazo yako.
Kwanza
kabisa utakapo anza zoezi hili ndani ya wiki moja utashangaa unapata jicho la
tatu na utakua na uwezo wa kujua mambo mbalimbali.
Katika
wiki ya tatu unahisi hali ya kushangaza ambayo haujawahi kuhisiwa, mabadiliko
katika mwili na hudumu na wewe.
Na
katika wiki ya nne unahisi kuwa mawazo yako ni ya kimiujiza na ya kushangaza na
nuru inaongezeka usoni mwako na hiyo ni ishara ya mafanikio yako.
Ukifikisha
wiki 4 hakika tayari utakua na nguvu za kuamuru kiumbe yeyote na atakuja kwa
kukutii na hapo tayali rohoau mizimu yakoitakua karibu na wewe, na utakua na
mwanga na kukubalika kwa kila mtu.
Zoezi
hili unatakiwa kulianza siku ya jumapili ya kwanza ya mwezi wa kiarabu.
Majina
ya kutaja ni haya hapa chini:-
كامش مش عشش شلاخ
baada ya kumaliza kazi hii atakua anakuja kiumbe na
kukwambia kilakitu maskioni na kukupa ishara mbalimbali za kila kinaco jili
kwako au mahali pako,na utakua na uwezo wa kusikia umbalimrefu kwa uwezo wa
Allah.
Baada ya kipindi cha mchezo huu w
a kiroho utahisi kama unaruka angani kana kwamba mawazo yako yamepangwa sana
Kuna
neno la kushangaza ambalo linakuambia katika akili yako na maoni mapya kwa kila
kitu ambacho ni ishara yako ya mafanikio katika utaftaji wako.
ZAIDI TEMBELEA YOUTUBE YANGU KUPATA MAMBO MBALIMBALI, INGIA YOUTUBE ANDIKA BABU HAJI.
No comments:
Post a Comment