UTABILI - Dr BaBu Haji

Latest

Dr BaBu Haji

SWAHILI VERSION KWA TIBA ZA ASILI,UTABIRI WA NYOTA,UTAFSIRI WA NDOTO,KUONDOSHA ADHA YA MAJINI,MIKOSI,BIASHARA,MAPENZI,NGUVU ZA KIUME,UZAZI,KUMWITA ALIYE MBALI NA KUSAFISHA NYOTA,MUONE DR HAJI. ENGLISH VERSION MEET THE TRADITIONAL HEALER DOCTOR AND ZODIAC SIGN PREDICTOR

Dr Babu Haji

Dr Babu Haji
+255767393934/ +255657555550

Translate

Wednesday, November 8, 2017

UTABILI




 

 

HAPA NI JINSI YA KUZITAMBUA SHIKERI KWA NAMBA;                                        Nahuu pia ni mpangilio wa shikeri katia namba yae, inamaana nimezipanga ila shikeri na mlango wake inapo takiwa kukaa.
Mfano;
1.ukikuta-1222 =na
2. ukikuta-2121=na
3. ukikuta-1212=na
4. ukikuta-2222=na
5. ukikuta-1121=na
6. ukikuta-1221=na
7. ukikuta-2221=na
8. ukikuta-2122=na
9. ukikuta-1211=na
10. ukikuta-2212=na
11. ukikuta-1111=na
12. ukikuta-1122=na
13. ukikuta-2112=na
14. ukikuta-2211=na
15. ukikuta-2111=na
16. ukikuta-1112=na
Ndugu msomaji wa kitabu hiki cha shikeri katika kitabu hiki kuna upigaji wa shikeri x2, au tatu kuna njia ndefu na njia fupi na kuna kutazama kwa kuangalia swali ulilo ulizwa na muulizaji.
Pia kuna vitu vya muhimu vya kutazama ambavyo ni milango ya shikeri, unatakiwa uzingatie kila mlango unazungumzia nini au kila mlango una husu nini.
Mfano:
1.  Mlango wa kwanza ni mlango wa muulizaji (nafsi).
2. mlango wa pili ni mlango wa mali, utafutaji, kipato.
3.  mlango wa tatu ni mlangu wa ndugu,jamaa,rafiki.
4. mlango wa nne ni mlango wa mji au nyumba.
5. mlango wa tano ni mlango wa elimu,uchumba au kizazi.
6. mlango wa sita ni mlango wa maradhi.
7. mlango wa saba ni mlango wa ndoa.
8. mlango wa wa nane ni mlango wa ugaibuni yaani ugenini au alikotoka au anakotaka kwenda.
9. mlango wa tisa ni mlango wa safari,msafiri.
10. mlango wa kumi ni mlango wa ufalme,viongozi,mizimu au muajili.
11.mlango wa kumi na moja ni mlango wa tamaa au kitu anacho kitamani au mipango ya muulizaji au matarajio yake ya badae.

12. mlango wa kumi na mbili ni mlango wa uadui, mfano mtu kakuuliza kuhusu ndoa yake kwanini haina amani au kuhusu mambo yake basi unatakiwa uangalie mlango wa 7 na mlango wa 12 au katika mlango wa 12 kukiingia shikeri ya         inamaana uadui huo ni mkali sana na uchawi huo ni wa kaburini.
13. Mlango wa kumi na tatu ni mlango wa muulizai yani unaonyesha ninini alicho kiuliza muulizai.
14. mlango wa kumi na nne ni mlango wa mwalim anae piga hizi shikeri yaani mtazamaji.
15.mlango wa kumi na tano ni mlango wa nyumba au nyumbani kwake.
16. mlango wa kumi na sita ni mlango wa mwisho na ni mlango wa hatima yaani ni mlango wa mahakikisho ya ramli au kutazama mwisho wa matatizo ya muulizaji yatakuaje.

SASA TUNAINGIA KATIKA UANGALIA SHIKERI YAKO IMEINGIA KATIKA MLANGO WA NGAPI NA INA SEMAJE 
                                                                                                                        MLANGO WA NAFSI
 


Huu ni mlango wa muulizaji.
1.nafsi inauliza kuhusu kitu kilicho kutoka kama kitapatikana au laa.
2. kipato chako kimefungika.
3. ndugu anaumwa tumbo.
4. mji ni salama lakini watoto wanaumwa.
5. mkeo au watoto wanaumwa.
6.  maradhi yako tumboni.
7. ndoa yako ina matatizo na kutatokea ugonvi.
8. safari au uendako hakuna matatizo.
9. safari haina matatizo nenda.
10. ufalme wako hauna matatizo.
11. tama zako ni mbaya kuna shari.
12. uadui ni wa masetani.
13. unatazama kupata kitu furani.
14. mwalimu utapata kitu kizuri.
15. nyumba yako ina uadui.
16. hatma ni nzuri ila watoto wataugua.
 

2121 DAHAL MARI
1.muulizaji utapata kitu kizuri au pesa.
2. ramli yako ni salama na utapata pesa.
3. ndugu anaumwa tumbo.
4. mji ni salama na una kipato.
5. mji ni salama ila mkeo/watoto wanaumwa.
6. mgonjwa maradhi yake ni mazito na kuna hatari ya kupoteza maisha.
7. ndoa yako ni nzuli na ina kipato.
8. nenda safari utapata kitu kizuri.
9. safari yako ni nzuli ina mafanikio.
10. ufalme wako ni mzuli ila unakipingamizi fanya tambiko.
11. tamaa zako ni nzuli ila zina joto baya tafadhari agua.
12. una uadui ila uadui huo ni wa mda mrefu, kwasasa huna uadui.
13. unatazama hali yako na familia yako kwa ujumla.
14. mwalimu utapata kitu kizuli au pesa.
15. nyumba yako ni salama.
16. hatma ni nzuli.
 

1212 HARIJA NDUGU
1.ndugu unatazama kitu kilicho kutoka.
2. kipato chako ni cha kutoka.
3. ndugu huyo hana uadui hata kidogo.
4. mahali unapokaa utahama au utasafiri.
5. kizazi cha mkeo ni cha kutoka.
6. mgonjwa atapona.
7. ndoa yako ni ya makelele pia mtaachana.
8. ugaibuni ni salama.
9. safari utaenda lakini kutatokea makelele au msiba.
10. ufalme unashika na kuachia inamaana ukipata kipato kinatoka.
11. tamaa zako ni mbaya na kama una mimba au mkeo anamimba itatoka, hii ina tegemea na muulizaji kama ni mwanamke au mwanaume.
12. kwasasa hauna uadui, uadui huu ni wa zamani.
13. unatazama ugonjwa au kupata kitu.
14. mwalim utapata safari.
15. unapo ishi utahama.
16. hatma amali yako itarudi au kama kuna kitu kilicho potea kitarudi.
 

2222 JAMAA
1.ugaibuni kuna mgonjwa anajini bahari.
2. kipato chako kina mikutano mibaya kuna watu wanakaa kukujadili ili kukuharibia.
3. ndugu hao hawana maana, wana kukalia vikao vibaya.
4. kwenye mji wako watakuja watu wengi au kutakua na mkutano au atakuja mtu au watu kwa ajili ya kusuluhisha jambo au kujadili kitu furani.
5. kizazi cha mkeo ni majuto na ana jinni bahari.
6. hali ya mgonjwa itakua mbaya sana na kuna hatari ya kupoteza maisha.
7. ndoa yako ni ya migogoro maana kuna watu wanawakalia vikao.
8. ugaibuni kuna mkusanyiko wa watu na kama kuna mgonjwa atakufa.
9. safari yako haina heri, usiende.
10. ufalme wako unataka kukutana, fanya tambiko.
11. tamaa zako zina rohani.
12. uadui wako ni wa watu wengi kaa chonjo.
13. unatazama habari kutoka ugaibuni.
14. mwalimu utapata wageni wengi na kama kwako kuna mgonjwa atakufa.
15. nyumbani kwako watakuja wageni.
16. hatma kutakua na watu wengi kutoka ugaibuni, au kama kuna agonvu watakuja watu kuwa suluhisha.
 

1121
1.nafsi ina wasi wasi juu ya kitu furani au maneno.
2. kipato chako kina kheri japo kina manneno maneno ya watu.
3. ndugu ana piga kelele ana jinni.
4. mji una furaha lakini watu hawaelewani.
5. kizazi kina jinni.
6. mgonjwa ana jinni na anapiga kelele.
7. ndoa ni nzuli ila ina mikutano ya fitna.
8. ugaibuni kuna mgonjwa au kuna ugonvi.
9. safari itakua nzuli ila jiepushe na ugonvi.
10. ndani kwenu hakuna maelewano na ufalme wako hauelewani tafadhari fanya tambiko au toa sadaka.
11. tamaa zako zina jinni mganga.
12. uadui wako ni wa ndani na hakuna maelewano.
13. unatazaa kuhusu mkeo/mumeo au watoto.
14. mwalimu utaskia kelele za msiba au utafiwa.
15. nyumbani kwenu hampatani.
16. hatma ni nzuli lakini lazima uaguliwe.
 

1221 sin qaf
1.nafsi haina haja bali ni matatizo.
2. kipato chako kimefungwa.
3. ndugu anaumwa tubo.
4. mji hauna tatizo.
5. mkeo kafungwa uzazi na tumbo linamuuma.
6. mgonjwa ugonjwa wako ni kali sana na pia ugonjwa huo uko tumboni.
7. ndoa ni nzuli hakuna shaka.
8. ugaibuni hakuna tatizo.
9. safari yako imefungwa na ukiilazimisha utapata matatizo.
10. ufalme wako umefungwa na utakuja kupata mabalaa, fungua.
11. taaa zako zime fungwa, fungua.
12. uadui huo ni mkali sana na umefungwa kichawi, fungua.
13. sail kazizako zimefungwa na mwili unauma.
14. mwalimu kila mala unaumwa tumbo.
15. nyumba yako haina uadui.
16. hatma ataugua mtu mzima.

 

2221 IN KIS
1.nafsi ina kiza umerogwa na umefukiwa kaburini.
2. rizki yako ina nuksi kari, agua.
3. ndugu amerogwa na katupiwa jinni maiti.
4. mji una nuksi na una jinni mbaya.
5. kizazi kime nuksika.
6. maradhi hayo ni makali sana na umefungwa.
7. ndoa yako ina giza kubwa na ina hatari ya kuvunjika.
8. tangani kuna kiza hakuna heri.
9. safari yako haina heri usiende na kuna hatari ya kupata ajari.
10. ufalme wako umefungwa fungua.
11. matamanio yako yamefungwa, fungua.
12. uadui huo ni mkali sana na huenda ukakumbwa na balaa.
13. sail ramli ni yako mwenyewe, unatazama kwanini mambo yako yana haribika.
14. mwalimu utasifiwa sana kwa mambo mazuli.
15. nyuba yako ina nuksi kali, agua.
16. hatma hakuna heri mpaka utibiwe.

2122
1. nafsi yako ina wasi wasi juu ya kitu au mtu furani.
2. kipato chako kina uadui kali.
3. ndugu ana wasiwasi na maneno.
4. mji huo ni mbaya watu wana logana.
5. kizazi chako kina joto baya, agua.
6. ugonjwa huo ni mkali sana na kuna sihiri ndani yake, pia anae fanya uchawi huo ni mwanamke.
7. ndoa yako ni ya vurugu hakuna maelewano.
8. ugaibuni kuna msiba au kama kuna mgonjwa atakufa.
9. safari yako haina heri   usiende.
10. ufalme wako hauna neno ila mwiliwako ndo mbaya.
11. kamaa zako ni mbaya zina kijicho, agua.
12. uadui huo ni kali sana tafadhali agua.
13. muulizaji una wasi wasi una mgonjwa.
14. mwalimu utapata jambo la haraka.
15. nyumba yako ina uadui mkali sana.
16. hatma ni mbaya mpaka utibiwe.

2212 BAYADHWA
 


1. ndugu muulizaji unauliza kuhusu ndoto uliyoota.
2. amali yako ni nzuri ili mkeoana jinibahari.
3. ndugu hawana uadui hata kidogo.
4. mji wako hauna tatizo.
5. mkeo ana mimba ya mwezi mmoja au miwili.
6. maradhi yana uadui wa jinni.
7. ndoa yako ina Baraka.
8. ughaibuni hakuna tatizo na kama kuna mgonjwa atapona.
9. safari yako ina bahati na mafanikio.
10. ufalme ni mzuri.
11. tamaa zako ni nzuri.
12. uadui ni wa mashetani.
13. una ahadi Fulani au watoto wanaumwa.
14. mwalimu atapata mali.
15. nyumba yako haina uadui.
16. hatma ni nzuri.

1122
 


1. saail ufalme wako una nguvu sana na una asili ya mali.
2. kipato chako ni salama hakina uadui.
3. ndugu hana uadui na wewe.
4. mji ni mzuri pia una kupato.
5. kizazi ni kizuri ila unaumwa.
6. maradhi yatapona.
7. ndoa ni nzuri sana.
8. ughaibuni hakuna shaka wala matatizo.
9. safari yako ni nzuri na utapata bahati.
10. ufalme unastawi hakuna tatizo.
11. matamanio yako ni mazuri.
12. uadui ni jinni.
13. saailhaja zako utafanikisha.
14. mwalimu atapata mafanikio.
15. kama unaugonvi ni lazima usuruhishwe.
16. hatima ni nzuri.

2211


1. nafsi inataka kupata kitu Fulani au mali.
2. kipato chako ni salama na utapata mali.
3. ndugu hawana kheri hata kidogo.
4. mji ni salama.
5. amali ni salama ila watoto wataugua au wataumwa.
6. ugonjwa una usiri mkubwa umelogwa.
7. ndoa ni nzuri ila kuna uadui.
8. ughaibuni hakuna tatizo ni salama.
9. safari haina tatizo nenda.
10. ufalme na kipato vina sudi uadui.
11. tamaa zako ni nzuri.
12. uadui huo ni wa mwana zuoni.
13. unatazama haja zako kama utapata,utapata.
14. mwalimu utapata neema.
15. nyumba haina uadui.
16. hatma ni nzuri.
 

1112
1. utapata au utasikia maneno ya kukukera leo au kesho.
2. kipato chako kina uadui mkubwa sana na kimefungwa.
3. ndugu huyo ni mzuri sana atakusaidia.
4. mji wako una maneno mengi na makelele.
5. kizazi chako kina jinni,agua.
6. mgonjwa atapona akiaguliwa.
7. ndoa,kazi vina uadui na vina uadui na fitina kubwa kuna hatari ya kuachana.
8. ughaibuni kuna maneno maneno ya wanawake.
9. safari yako usiende ni mbaya sana.
10. ufalme una uadui wa kijini.
11. matanio yako yana jini mbaya.
12. uadui wako ni wa mashetani au jinni maiti.
13. unatazama kuhusu mgonjwa.
14. mwalimu utapata msiba au makelele.
15. usitamani vya mwenzio utakosa kili kitu.
16. hatma itakua ni mbaya sana na uadui utaongezeka.

8 comments: