TAFSIRI ZA NDOTO ZOTE - Dr BaBu Haji

Latest

Dr BaBu Haji

SWAHILI VERSION KWA TIBA ZA ASILI,UTABIRI WA NYOTA,UTAFSIRI WA NDOTO,KUONDOSHA ADHA YA MAJINI,MIKOSI,BIASHARA,MAPENZI,NGUVU ZA KIUME,UZAZI,KUMWITA ALIYE MBALI NA KUSAFISHA NYOTA,MUONE DR HAJI. ENGLISH VERSION MEET THE TRADITIONAL HEALER DOCTOR AND ZODIAC SIGN PREDICTOR

Dr Babu Haji

Dr Babu Haji
+255767393934/ +255657555550

Translate

Friday, December 27, 2019

TAFSIRI ZA NDOTO ZOTE



                 

Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu muumba mbingu na ardhi na kila kilichomo kwa kunijaalia afya njema na kunijaalia uwezo wa kuwapa elimu hii ya ndoto.

Ndugu msomaji wa kitabu hiki cha ndoto namba mbili
Katika Uislamu tumeambiwa Ndoto ni sehemu ya unabii tulioachiwa, pia uislamu unaeleza aina kuu mbili za ndoto yaani Ndoto zinazotokana na shetani na ndoto inayotoka kwa mwenyezi mungu.

Pia Uislamu umeeleza ndoto ya kweli uotwa muda gani (Mfano amesema bwana Mtume Muhammad (SAW), ndoto yeyote atakayeota muumini kabla ya swala ya alfajiri, ndoto hiyo ni ya kweli), kwa ufupi ndoto ya kweli ni ile mtu anayeota usiku wa manane akiwa hana msongamano wa mawazo na wala huna janaba la hawala.

Uislamu umesema kuwa kama mmoja wenu ameota ndoto nzuri basi amfuate mmoja wenu anayejua na amweleze ili apate maana yake. Kama uislamu umeelezea vizuri kuhusu ndoto Je ndoto hutafsiriwaje?..


Ukiota ndoto yoyote katika wakati ulioelezwa basi angalia hiyo ndoto kama inafanana na Aya yeyote ya Kuran anu Hadith Yeyote ya Bwana Mtume. Hiyo itakuwa ndio maana yake:-

Mfano 1: Umeota umetumbukizwa kwenye Kisima, tafsiri yake ni surat Yusuf... Yaani Ndugu zako wanataka kukutendea uadui, lakini kwa uwezo wa Mwenyezi mungu hawatafanikiwa wanavyotaka na utakuja kuwa na uwezo wa mali na mamlaka kuliko wao.

Mfano wa Pili: Umeota ndege amekudondoshea jiwe kichwani, Tafsiri yake Surat fil... Unaonywa kuwa unafanya yaliyovuka mipaka hivyo utaangamia.

Mfano wa tatu: Umeota Ndege anaokuambia kitu, Tafsiri yake ni surat Naml.                              Habari anayokuambia ni ya kweli hivyo unatakiwa uifanyie kazi haraka.

Mfano wa nne: Umeota unakurupuka na ukaambiwa kiama! watu wengi wanakwenda wasipopajua, Tafsiri yake ni kuwa unapewa Onyo kuna jambo linalomchukiza Mungu unalifanya acha mara moja. kumbuka pale allah aliposema kuwaambia waovu "Hakuna wanachokisubiri ila ni kiama ambacho kitawakuta Ghafla".



1.     Ukiota ulimi wako umefungwa, ni dalili ya ufukara na maradhi.

2.    Ukiota una meno meupe na mazuri, ni dalili ya ziada katika nguvu na mali ya daraja ya juu kwa watu wa nyumbani mwake.

3.    Ukiota una meno ya dhahabu, ukiwa ni mwenye elimu basi ndoto yako ina sifa nzuri,na ikiwa sio mwenye elimu basi basi ni dalili ya shari na watu wako watapatwa na maradhi au kuangamia.

4.    Ukiota una meno ya fedha, ni dalili ya kupata hasara katika mali yako,na yakiwa ni meno ya kioo ni dalili ya umauti.

5.    kuota unalisha maskini, utatoka kwenye majonzi na utapata amani kama ulikuwa na hofu.

6.    Ukiota unaswali katika alkaaba, utapata baadhi ya watukufu na viongozi na utapata amani na kheri.

7.    Ukiota umekufa na kufufuka, utafanya madhambi na utamuomba mungu msamaha.

8.     kuota unakufa bila kuumwa, umri wako utakuwa mrefuu.

9.    Ukiota umekufa,watu wanaombeleza na kukufanyia shughli za mazishi
dunia yako itakuwa nzuri lakini akhera yako imeharibika.


10.   kuota maiti inajiosha yenyewe, watu wako watatoka kwenye majonzi na mali yao itazidi.

11.   kuota unaona sanda, ni dalili ya zinaa.

12.    Ukiota sanda imeveshwa lakini haijakamilika uvaaji wake
utatiwa kwenye zinaa lakini hutokubali.


13.   Ukiota umefungwa kwenye sanda vilevile kama maiti
ni ishara ya kifo chako.


14.   kuota upo kwenye jeneza, utajenga udugu na mtu kwa ajili ya mungu.

15.   Ukiota upo kwenye jeneza na watu wamelibeba 
utatawala na kupanda daraja na watu watakufuata kama ulivyowaona ndotoni.


16.   Ukiota umebeba maiti, utapata mali ya haramu.

17.   Ukiota unampeleka maiti sokoni, utapata mahitaji yako na faida kwenye biashara zako.

18.   Ukiota jeneza linapita hewani, atakufa mtu mkubwa kama rais, mwanachuoni au yeyote mwenye daraja ya juu.

19.   Ukiota umekufa na unazikwa, utasafiri safari ya mbali na utapata mali.

20.  kuota umemfufua maiti
utamsilimisha mtu wa dini nyingine kuwa muislam au mtu muovu atatubia dhambi zake kwako.


21.   Ukimuota dada yako aliyekufa anaishi, utajiwa na mgeni kutoka safarini na utafurahi.


NDOTO ZA NYOKA
22.  Nyoka katika ndoto anawakilisha mtu anayeishi Bondeni, vilevile Nyoka katika ndoto ni ishara ya uadui kutoka kwa wakwe zako au watoto au ni ishara ya uovu na wivu kutoka kwa majirani zako au jini mbaya.

23.  Ukiota unamuona nyoka maana yake ni kwamba utadanganywa na mkeo au mumeo.

24.  Ukiota unapigana na nyoka ni ishara ya kuwashinda au kuwapindua adui zako.

25.  Ukiota unakimbizwa na nyoka ni ishara ya uadui unaokujia kutoka kwa adui yako.

26.  Ukiota umemuona nyoka mwenye vichwa saba ni ishara ya wewe kutenda dhambi au makosa makubwa.
            
27.  Ukiota unamuona chatu anakushambulia ni ishara ya kwamba mwanamme au mwanamke mwenye uwezo ambaye ni adui yako atakusumbua sana. Kama ukiota ameshindwa kukuumiza maana yake utapewa sifa za uongo. Ukiota umemuuwa ni ishara ya kuwashinda maadui zako.

28.  Ukiota nyoka amejikunja ni ishara ya kupatwa na hatari au kifungo. Pia ni ishara ya kupata maradhi na kuchukiwa na watu.

29.  Ukiota nyoka amelala maana yake ni adui aliyelala hasa kwa mtu ambaye ni muovu.


30.  Ukiota nyoka wa kwenye maji maana yake ni kwamba utapokea msaada au utapata uamuzi kuhusu jambo lako.

31.   Ukiota unafuga nyoka au unamiliki nyoka hiyo ni ishara ya kupata uwezo au madaraka.

32.  Ukiota nyama ya nyoka maana yake ni fedha za adui au ni ishara ya wewe kupata furaha.

33.  Ukiota umevaa ngozi ya nyoka maana yake ni kwamba utamgundua adui yako.

34.  Ukiota umemuua nyoka na damu yake ikakurukia kwenye mikono yako maana yake ni kwamba utamshinda vibaya adui yako.

35.  Ukiota umemwona nyoka anauliwa barabarani hiyo ni ishara ya kutokea vita au magomvi.

36.  Ukiota nyoka mdogo ni ishara ya matatizo kwa mtoto wako au mtoto yeyote unayemhudumia au kumsaidia.


37.  Ukiota unawinda nyoka maana yake ni kwamba utamdanganya adui yako.

38.  Nyoka mweusi katika ndoto ni ishara ya adui yako mwenye nguvu.

39.  Nyoka mweupe katika ndoto ni ishara ya adui mnyonge.

40.  Ukiota nyoka anakusemesha na anakuambia maneno mazuri maana yake ni kwamba utapata bahati ya kukaa vizuri na adui zako na utanufaika nao.

41.   Ukiota nyoka anakusemesha na anakukaripia kwa maneno makali hiyo ni ishara ya kwamba adui yako atakutesa na kukunyanyasa.

42.  Ukiota umegeuka nyoka ni ishara ya kwamba utatoka dini yako na kwenda dini nyingine.

43.  Ukiota umegeuka nusu nyoka na nusu mtu huyo ni ishara ya kwamba utafanikiwa kupunguza nusu ya nguvu za adui yako.

44.  Ukiota umegundua ngozi ya nyoka ambaye imetengenezwa kwa dhahabu maana yake ni kwamba utagundua mali iliyofichwa.

45.  Ukiota nyoka anakumeza hiyo ni ishara ya kupata madaraka makubwa ya uongozi.

46.  Ukiota nyoka amekukalia kichwnai hiyo ni ishara ya kupata heshima kubwa kutoka kwa watu wenye madaraka au viongozi.

47.  Ukiota uwanja mkubwa uliojaa nyoka hiyo ni ishara ya kwamba itanyesha mvua kubwa ambayo italeta madhara.

48.  Ukiota nyoka mwenye pembe ni ishara ya kupata mafanikio ya kibiashara.

49.  Nyoka mweusi na chatu katika ndoto wanaashiria viongozi wa kijeshi.

50.  Nyoka wa majini ni ishara ya pesa au utapata pesa.

51.   Ukiota shamba lako limejaa nyoka ni ishara ya kwamba utapata mazao mengi msimu huo.
52.  Ukiota nyoka anaondoka nyumbani kwako maana yake ni kwamba nyumba yako itavunjwa.

53.  Ukiota umemuua nyoka ni ishara ya ndoa na vile vile utawashinda adui zako na wote wanaokuchukia.

54.  Ukiota unakula na nyoka meza moja maana yake ni kwamba utatengana na rafiki yako.

55.  Ukiota umemwona nyoka wa Jangwani maana yake ni kwamba mtavamiwa na majambazi.


56.  NDOTO ZA KUJISAIDIA HAJA KUBWA AU NDOGO
57.  Mara nyingi ndoto huja kama fumbo au mfano ili kuelewa maana ya ndoto uliyoota yakulazimu ufahamu nini maana ya fumbo au mfano ulio uona katika ndoto.


58.  Kuota kitendo cha karaha au kuudhi haimaanishi kua hiyo ndoto ni mbaya. Mfano kuota unajisaidia haja kubwa au ndogo

MAANA YA KUJISAIDIA


59.  Kwanza ifahamike kuwa kujisaidia ni tendo la kushusha au kuondosha takamwili zilizo katika mwili, kwahiyo mwenye kuota anajisaidia haja kubwa au ndogo hii inamaanisha kuwa mtu huyo ameshusha au atashusha mambo yenye kumuhemeza, 

60.  Hii inamaanisha kuwa mtu huyo ataondokewa na matatizo na mambo magumu alionayo.

61.   NB: Tofauti kati ya haja kubwa na ndogo ni kwamba      (1) Ukiota unajisaidia haja kubwa hii ina maanisha utaondokewa na Matatizo makubwa na madogo ulionayo.

62.  (2) Ukiota unajisaidia haja ndogo inamaanisha utaondokewa na matatizo madogomadogo  tu ulionayo.

63.  ALAMA MUHIMU KATIKA NDOTO

64.  FARASI=Anaashiria mtu;hali ya maisha yake na roho yake pia (Mathayo 7:24-27 ,2Timotheo 2:20-21)

65.  Samaki= Watu

66.  Majani makavu= Kuchakaa na kuwa mkiwa

67.  Majani mabichi= Neema na ustawi

68.  Ngazi= Kuongezeka,kukua mafanikio

69.  Mbuzi= Ulafi

70.  Mbwa= uzinzi

71.   Kondoo= Unyenyekevu,upole

72.  Maji= neema,kurudhika, uadui, na kuendelea

73.  Daftari na kalamu= Elimu na mafunzo mbele yako

74.  Kuku= papara na kuhangaikia mambo yasiyokuhusu

75.  Mwewe mweusi= Mkuu wa anga wa eneo

76.  Paka= uchawi wa eneo

77.  Nyoka= Njama,shetani,Ibilisi,Njama,uadui,jini.

78.  Kipara= werevu,uzamani,wingi wa maarifa

79.  Nzige= uharibifu,hasa wa kipawa au huduma au mazao

80.  Asali= uponyaji,ulinzi,mvuto na uzuri

81.   Bundi= mikosi, fitina, uadui

82.  Fisi= uchawi, mchawi, uadui

83.  Unapoona ulimi upo nje ya kinywa= roho ya usengenyaji,umbea,kugombanisha

84.  Unapoota unaumwa na kichwa= wachawi na wanga wamekushambulia

85.  Unapoota unatembea lakini hufiki= Jambo unalolofanya sasa linakupotezea muda fanya jambo jingine achana na hilo.

86.  Unapoota unaitwa na mtu usiyemjua= Roho ya mauti

87.  Unapoota watu waliokufa wanakuita= Maagano,mauti

88.  Unapoota unafanya mapenzi na ndugu yako wa kuzaliwa= Uhusiano wako na ndugu yako utaharibika muda sio mrefu,pia utapata aibu

89.  Unapoota unalia na hakuna anayekufariji= Huna uhusiano mzuri na watu

90.  Unapoota ndugu wako wa karibu amekuja kukutembelea na kukuaga= Roho ya mauti ipo juu yake

91.   Unapoota upo mbele za watu wengi wanakusikiliza= Mwenyezi Mungu atakutukuza na kukujulisha mbele za wengi au kupata cheo

92.  Ukiona nyumba/chumba kipya=  Huashiria mawazo chanya;huduma na maisha mapya katika eneo jingine jipya

93.  Unapoota upo uchi= Aibu;mambo yako yatakuwa hadharani na kuonekana,kuwa mwangalifu katika siri zako kwa watu

94.  Unapoota unavuka mto lakini umelowana = Jaribu unalopitia utalishinda ila kwa taabu nyingi,Lakini utavuka

95.  Unapoota umelala na mtu wa jinsia ambayo sio yako= Kuwa mwangalifu na aina ya mahusiano uliyonaoyo yatapelekea kumkosea Mungu

96.  Unapoota mti mkubwa uliostawi sana= Mungu atakuinua na kukufanya mkuu au kazi zako zitakupa kipato au kupanda cheo.

97.  Unapoota upo ziwani unavua samaki= ni dalili ya kipato, kuwateka watu ki hakili, na kama unagombea cheo utashinda maana watu wata kusikiliza.

98.  Unapoota unakimbizwa na watu usiowajua kwa nia ya kukudhuru na ukawazidi mbio= Uwe mwangalifu kwani shetani atatumia mapepo yake na wachawo,  pia ni dalili ya kwamba kunawatu wanakushambulia lakini hawatakushinda.

99.  Unapoota  unakula lakini hushibi= Roho ya kutotosheka na kutapanya mali

100.          Unapoota umekatwa kichwa= Madalaka yako yamehamishwa na kwenda kwa mtu mwingine.

101. Unapoota unavalishwa joho= Mwenyezi Mungu atakufanya kuwa mpatanishi kwa wengine.

102.          Unapoota shamba zuri limejaa mazao= Ni kipindi ambacho Mungu atakurejeshea kwa wingi mafanikio yako

103.          Unapoota matunda yaliyoiva= Ni wakati wa mafanikio yako tayari
104.          Unapoota mto mkubwa uliojaa mamba= Vikwazo na balaa vimewekwa mbele yako

105.          Unapoota mlima mkubwa mbele yako= Jaribu mbele yako

106.          Unapoota umekufa= Ni taarifa kwako kwa mambo uliyonayo yamekwisha.


NDOTO ZINAZO HUSU MAJI,NVUA,BAHARI,NK.
107.          UKuota mvua inanyesha ni baraka na kufanikiwa mipango yako ya kimaisha, lakini ikiwa imenyesha kwenye nyumba yako tu nayo ina maana hiyo kwako na kama ni mtaa au mji mzima basi ni heri na baraka kwa mji huo, ikiwa ni ya mafuriko basi ni hatari na majanga katika sehemu husika. Ikiwa maji yake machafu na umeyanywa hayo ya mvua basi ni kupata maradhi ya kulala kabisa kwa muda mrefu.
108.          Kama utaona upinde wa mvua ndotoni nayo ni baraka na amani lakini rangi nyekundu ya upinde ikitawala upinde huo ni umwagaji damu kutokea au kama njano imetawala ni magonjwa au green ikitawala ni neema na amani.

109.          Kuota mvua inanyesha kwa mtu aliye kwenye safari inaonyesha vikwazo mbele ya safari yako vyaweza kukumba
110. Maji ya mvua ukiota unayanawa kwa njia yoyote au unapata udhu nayo ujue ni heri na msamaha mkubwa wa Mungu muumba na dalili ya ufanisi kiuchumi kwa mwenye hali ngumu ya maisha. Kusamehewa na kupata uongof
111. Kwa ufupi ukiota mvua ikinyesha kawaida basi ni amani na heri ikiwa inanyesha kwenye ndoto asali, maziwa, na vitu vingine vizuri basi ni zaidi ya baraka na heri kwa muotaji na watu wa karibu katika sehemu hiyo.                                         
112. Kuota mto ina maana ni mtu maarufu utakuwa naye karibu, kuota unaogelewa mtoni ina maana uko na serikali karibu au utapata ajira serikalini mfanye kazi na serikali, Kuota unaruka mto kutoka pande moja kwenda nyingine ya mto ni kuwa unaokoka majanga na pia maadui unawazidi mbinu zao na kuwaepuka, pia mto unaimanisha kupata safari muda wowote. 
113. Kama wewe utaota unageuka kuwa mto yaweza kuwa kifo chako kiko karibu,
114. ukiota mto unasambaa mitaani na masokoni na watu wanaoga na kutumia maji kutawadha na mambo mengine ujue mfalme muadilifu na mzuri mwenye kupenda watu atatawala na ikiwa maji yanaingia mtaani na kuharibu majumba na mali za watu ujue kuwa mfalme asiye muadilifu atatawala na kuumiza watu kiasi kwamba watakosa amani na raha kutokana na mfalme huyo.

115. Ukiota unaogelea kwenye mto mchafu jua ni dalili ya kuzama kwenye maasi na kutosikia makumbusho unayoambiwa ya kuacha maasi
116. Ukiota mto unatiririka kwenye nyumba yako ujue mali itaongezeka kwako na utakuwa mwenye mali kukidhi mahitaji yako na ziada.
117. Kuota radi kwenye ndoto inategemea umeota vipi, ikiwa radi tu bila mvua ni kuonyesha kutokea majanga na hali tete
118. Ukiota radi na mvua kwa pamoja ni kupata nafuu na mambo kuwa mepesi kuliko yalivyokuwa na hii ni kuonyesha matumaini kuwa yanakaribia kwa hali unayokuwa nayo kama mgonjwa anakaribia kupona , biashara inaelekea kuwa ya faida yaani kila pazito panaelekea kuwa rahisi kwako.
119. Ukiota unasikia mngurumo wa radi tu bila hata kuona mwale basi ni mauaji kutokea katika maeneo na hali ya mtafaruku kutokea.
MUHIMU
Nipende tu kuwaambia na kuwa kila ndoto inayoiota huwa na maana na pia huwa na tafsiri yake kutokana na mazingira unayoishi pamoja na ufahamu wako kiroho.
Namaanisha kuwa unaweza ukaota ndoto inayofanana kabisa na mtu mwingine lakini tafsiri zikatofautiana kutokana na mtu na mtu na pia mazingira mnayoishi.

EE MOLA WANGU ULIE UMBA MBINGU NA ARDHI NAKUOMBA UTUKINGE NA MABALAA YATOKANAYO NA MAJINI NA BINADAMU NA UTUJALIE AFYA NA SALAMA YAA SALAMU ILI TUWEZE KUKUSHUKURU NA KUKUABUDU NA UTUJAALIE MIONGONI MWA WAJA WAKO WEMA YA ALLAH.
ZAIDI WASILIANA NA DR.HAJI KWA SIMU NO 0657,555550/767,393934/685,393934. Au tembelea blog, http://hajibabuherbalistclinic.blogspot.com


37 comments:

  1. shukrani kwa maarifa ila ukiota umepanda ngazi alafu ukaanguka lakini.hujaumia nini maana yake

    ReplyDelete
  2. ukiota wazazi wako wamekufa inamaana gani

    ReplyDelete
  3. Ukiota unawaona ng'ombe wamenona,wazuri,wanakula majani...ndoto hii ina maana gani?

    ReplyDelete
  4. samahn naomba kuuliza mm nimeota nimengoka meno yote yajuu hapa mbele inaashiria nn


    ReplyDelete
  5. Xamahani mm ni mwanafunzi na ninaota kuwa mtu anacheka bila sababu pia naota nyoka ananikimbiza ranging nyeusi ni kama chatu na mwingine ana ranging ya njano na nyeupe naomba unisaidie hata shuleni sifanikiwi inaniuma sana

    ReplyDelete
  6. Vipi ukiota unapata hela nyingi ikoje hiyo

    ReplyDelete
  7. Assalaam alaykum, mimi nauliza tafsiri ya ndoto ukiota unakula nyama mbichi. Ahsante

    ReplyDelete
  8. ukiota rafiki yako kavaa nguo yako ya ndan? (boxer)

    naomba msaada katafsiriwa

    ReplyDelete
  9. Hbr,mi nimekuwa nikiota ndoto za kutokuona Mara kwa mara Nini maana yake? Pia kuna wakati naota nafanya mapenz nikiwa na hisia Kali kbsa lakin kiuhalsia huwa Sina hisia za nmna hyo hata nikiwa na mpenz wangu, hii ina maana gan?

    ReplyDelete
  10. Ukiota umejifungua mtoto na tumbo laendelea kukuuma

    ReplyDelete
  11. Ukiota na mihongo inaamaisha aje

    ReplyDelete
  12. Nimeota nimepanda ngazi nilipofika mwisho nikataka kushuka lakini nikawa nashindwa, nikawa naomba msaada kwa rafiki yangu wa zamani msaada ili nishuke.

    ReplyDelete
  13. mimi nimeota niko kwenyemeri lakini imepata ajali lakini nikafanikiwa kutoka na nika anza kuokoa watu maana yake sifahamu naomba nisahidie shekhe

    ReplyDelete
  14. nimekua nikiota mara kwa mara ndoto moja nikiwa niko shuleni na naona watu walewale niliosoma nao je hii ndoto Ina maana gani

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hupenda kazi ulio nayo ukafutwa ama ukapewa transfer, ama cheo ukapokonywa, in ishara ya kupungua kipato

      Delete
  15. Nimeota nilikuwa nimejilaza wakati naamka nikamkalia panya mkubwa bila kukusudia nikainuaka haraka Ila hakunidhuru" hii ina maana gani

    ReplyDelete
  16. Nimeota nimeingiliwa na mamba na kumzuia asiingie ndani hatimaye akaingia chumbani na kunin'gata mguu Kisha kushituka usingizini nn Mana yake

    ReplyDelete
  17. Nimeota watu anaenda kuzika nikawa nataka nikapokezane kama ilivyo kawaida ila wakanifukuza .pia walikuwa wamevaa nguo nyeupe na nyekundu. Na walikuwa wanne tu.
    Hii Ina maana gani!?

    ReplyDelete
  18. HOMON IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)
    Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN.

    VYANZO VYA KUVURUGIKA KWA HORMONE
    👉Utoaji wa mimba
    👉Uwepo wa sumu mwilini.
    👉kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha.
    👉Family history(upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone
    👉mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa.
    👉uzito mkubwa
    👉Msongo wa mawazo.
    👉Kutofanya mazoezi.
    👉Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango.
    👉Kukoma kwa hedhi.

    Dalili za kuvurugika kwa homoni
    👉Maumivu wakati wa tendo LA ndoa.
    👉Kutoshika mimba.
    👉Mzunguko wa hedhi kubadilika.
    👉Kuongezeka uzito.
    👉Kupungua hamu ya tendo LA ndoa.
    👉Kupoteza kumbukumbu.
    👉Hasira za Mara kwa Mara.
    👉Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabongemabonge
    👉Uke kuwa mkavu.
    👉kutoka jasho jingi usiku.
    👉maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
    👉mzio wa vyakula/Allerg kuchaguachagua vyakula.

    Madhara ya kuvurugika kwa homoni
    👉kutoshika ujauzito kwa mda mrefu.
    👉Mimba kuharibika Mara kwa Mara.
    👉Kuwa mgumba.
    👉U.T.I Mara kwa Mara.
    👉Uvimbe kwenye via vya uzazi wa mwanamke.(fibroids)
    👉kuziba kwa mirija ya uzazi.
    👉saratani.

    OFFICE ZETU ZIPO DAR-ES-SALAAM MIKOCHENI
    Wasiliana nasi kwa tiba ya uhakika kwa asilimia 💯 kutoka Nature's..
    Call/WhatsApp number +255752525797

    ReplyDelete
  19. Ukiota unafanya sherehe na ukiota kuna watu fulan wanakutesa

    ReplyDelete
  20. ukiota upo kwenye dampo la takataka?inamaana gani?

    ReplyDelete
  21. Ukiota nyoka yuko mbele yako anakusubiri ukakimbia na hakukupata

    ReplyDelete
  22. Mm nimeota napandishwa jumba kubwa saaanaaa Kisha juu kabisa yajumba lenyewe mpaka nashika na hofu ya kuangalia chini

    ReplyDelete
  23. Sikuamini kuwa ningeweza kuungana tena na mpenzi wangu wa zamani, nilipatwa na kiwewe nikiwa nimesimama peke yangu bila mwili kusimama na mimi na kuwa nami, lakini nilipata bahati sana siku moja nilikutana na mchawi huyu wa hodari Dk. ASUBUHI, baada ya kumueleza hali yangu alifanya kila liwezekanalo kumuona mpenzi wangu anarudi kwangu, kweli baada ya kunifanyia uchawi mpenzi wangu wa zamani alirudi kwangu chini ya masaa 48, mpenzi wangu wa zamani alirudi akiniomba kuwa hatawahi. niache tena, miezi 3 baadaye tulioana na kuoana, ikiwa pia una hali sawa. Ana nguvu nyingi katika mambo yake;
    *penda uchawi
    * kama unataka ex wako nyuma
    * Acha talaka
    *kuvunja mawazo
    * huponya viharusi na magonjwa yote
    * uchawi wa ulinzi
    *Ugumba na matatizo ya ujauzito
    Wasiliana na Dk DAWN kwa barua pepe yake: dawnacuna314@gmail.com
    Whatsapp: +2349046229159

    ReplyDelete