MAAJABU YA CHULA
Chula ni kiumbe mdogo sana lakini katika tiba
anakazi nyingi sana, Chula akisagwa akawa unga na akachanganywa na unga wa kinyonga basi na unga wa gogo au mti ulio
ozea kwenye maji, hutengeneza tego la kuvimbisha miguu na mwili kuwasha.
Huchukuliwa umambo wa kukaushia ngozi
unapakwa unga huu kwa kutumia mafuta ya kondoo mweusi na kupiga mahali alipo
kanyaga mwizi au adui.
No comments:
Post a Comment