UTABIRI WA CARD - Dr BaBu Haji

Latest

Dr BaBu Haji

SWAHILI VERSION KWA TIBA ZA ASILI,UTABIRI WA NYOTA,UTAFSIRI WA NDOTO,KUONDOSHA ADHA YA MAJINI,MIKOSI,BIASHARA,MAPENZI,NGUVU ZA KIUME,UZAZI,KUMWITA ALIYE MBALI NA KUSAFISHA NYOTA,MUONE DR HAJI. ENGLISH VERSION MEET THE TRADITIONAL HEALER DOCTOR AND ZODIAC SIGN PREDICTOR

Dr Babu Haji

Dr Babu Haji
+255767393934/ +255657555550

Translate

Saturday, July 10, 2021

UTABIRI WA CARD

 

BOOK OF CARD

Asalam aleikum ndugu zangu katika tiba na ndugu zangu katika imani na wapenzi wa vitabu vyangu kwa ujumra.

Napenda kuwa tangazia ya kwamba sasa Babu Haji nimekuja ki vingine baada ya kuwaandalia karata au kadi za utabiri zenye uwezo wa kukutabiria kila jambo au kubashiri jambo kwa njia nyepesi kabisa. Utabiri wa kadi ni mzuri sana kwa sayansi tuliyo nayo.

Na hizi ni dondoo baadhi za kadi zetu.

Kwanza kabisa unatakiwa kujua ya kwamba card hizi ni card za kichawi ambzo zinakuhitaji na wewe uwe mbunifu wa kuzitafsiri maana card hizi zina viumbe ndani yake ambapo kila card moja ina tafsiri nyingi kwa mfano kuna ndio na hapana ndio itakujibu kwa swali lolote uliloliuliza na pia hapana litakujibu kwa swali lolote uliloliuliza kwamba haliwezekani.

Wengi tunapenda kujua mambo au kufanya mambo yenye uhakika na kadi hizi zina majibu ya uhakika katika njia ya kutabiri mambo mbali mbali yajayo, yaliyopo na yaliyo pita.

Kawaida kama unataka kujua jambo unatakiwa kuchanga kadi zako kama unavyo change karata, kisha utazitandaza chini na utaanza kuokota moja hadi tatu na utaanza kuzisoma kuanzia karata ya kwanza, pia unatafuta uhakika wa jambo au wa utabiri wako kwa kuendelea kuokota karata au kadi zingine hadi upate jibu sahihi.

 

Hakika ukijua kutumia kadi hizi mambo yako yatakuwa mepesi sana maana kila jambo unaweza kuligundua mapema kama linawezekana au laa, na hata kama ni uchumba,ndoa,mapenzi, ugonjwa michezo NK.

 

Kadi hizi ziko 77 lakini hum nime sherehesha chache sababu kadi zingine zinajieleza zenyewe.

 

JINI MAHABA

Mfano ukikutana na card inayosema tatizo ni jinni mahaba basi tambua ya kwamba mgeni wako au unae mtizamia au hata wewe mwenyewe mambo yako au tatizo lako linasababishwa na jinni mahaba.

 

TATIZO NI MIZIMU

Ukikutana na card inayosema tatizo ni mizimu jua ya kwamba shida yako au maradhi yako yanasababishwa na mizimu  unatakiwa kufanya tambiko ili kupata salama yako.

 

 

WEWE NI MSHINDI KWA MPINZANI WAKO.

Ukikutana na card hii jua ya kwamba utashinda adui na hata ni mchezo utashinda kesi utashinda na pia kama ni maradhi utapona kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu.

 

MIZIMU INATAKA KULA.

 

Ukikutana na kadi hii jua ya kwamba ili kufanikiwa kwa mambo yako unatakiwa ufanye tambiko maana umeisahau mizimu yako wakati ndio msaada wako.

 

ANAEWAVURUGA NI JINI WA KIUME.

Kadi hii inawakilisha mashetani wanaovuruga ndoa za watu ukikutana na kadi hii katika kadi tatu za mwanzo unatakiwa ujue kwamba kuna jinni mbaya anaevuruga ndoa na kuwasababishia kutokuelewana.

 

 

 

ACHA UZINZI.

Ukikutana na kadi hii kama mambo yako ni mabaya na unataka kujua tatizo ni nini basi jua kuwa tatizo lako ni uzinzi au kuna mtu unafanya nae mapenzi ambaye nyota yake ni chafu na pia mtu huyo anaweza kuwa ni mchawi.

 

UTAPATA MALI.

Ukikutana na kadi hii kama unauliza kuhusu uchumi mwambie kwamba atapata mali kama atashughulikiwa na kama umeshamshughulikia akauliza kuhusu maendeleo yake ukakutana na kadi hii tayari kifungo kimeondoka na atapata mafanikio na kama ana safari ya utafutaji atafanikiwa.

 

NYOTA IMEZIMA NA MAMBO HAYAENDI.

Kadi hii ina mishumaa iliyozima ambayo inawakilisha kuzimika kwa nyota unatakiwa kushuhulikiwa ili kuiwasha nyota yako.

 

TATIZO LAKO MAPENZI NDOA UCHUMBA.

Ukikutana na kadi hii jua ya kwamba mgeni wako tatizo lake ni mambo ya mapenzi ndoa au mahusiano ya kimapenzi kisha endelea kuokota karata mpaka ukutane na tatizo lake ni nini ili upate ufumbuzi kamili na jinsi ya kumsaidia.

 

ATIZO NI MIZIMU YA UGANGA.

Ukikutana na kadi hii kama mtu amekuja kujua tatizo lake ni nini kama ni uzazi afya mapenzi na kazi mwambie kwamba tatizo lako ni mizimu fanya tambiko na unatakiwa uwe mganga ukabidhiwe mikoba maana ndio kazi yako.

 

ATARUDI KWAKO HIVI KARIBUNI.

Karata hii inawakilisha wapenzi walioachana au mtu aliyepotea au kuharibika kwa kazi kama ni kazi mwambie utarudishwa kazini na kama ni mapenzi mwambie mpenzi wako mtarudiana na kama ni ndoa itarudi.

 

RAFIKI ILA NI ADUI.

Ukikutana na kadi hii jua ya kwamba adui yako ni mtu wako wa karibu na hata kama unaulizia kuhusu mpenzi ukapata kadi hii basi jua ya kwamba mpenzi huyo atageuka kuwa adui au yupo kwa ajili ya masilahi.

 

MKOSI MKUBWA .

Ukikutana na kadi hii jua ya kwamba unamkosi mkubwa unatakiwa utibiwe maana kila jambo utakalolifanya litaharibika.

 

MZIMU WA KICHAWI.

Ukikutana na kadi hii jua kuwa unaemwangalizia ana mzimu wa kichawi unatakiwa ufungwe au kutolewa maana unaweza ukawa wa kutumwa au wa ukoo.

 

UTAPATA MALI KUTOKA KWA MIZIMU AU MAJINI.

Ukikutana na kadi hii inamaana ya kwamba utapata mali kwa njia ya mizimu au majini au ndagu na kama unakzi ya kuita kiumbe kwa ajili ya mali utafanikiwa na kama hujafanya kazi hiyo basi una mizimu ya mali pia inawakilisha kuwa unaweza kuwa na jinni wa kukupa mali.

 

ILI UFANIKIWA KAZURU MAKABURI YA WAZEE.

Kadi hii inawakilisha uwepo wa mizimu ambao umewasahau unatakiwa ukazuru makaburi yao au ufanye tambiko au uwafanyie dua ya kuwarehemu.

 

UADUI WA JINI MKUU.

Kadi hii inawakilisha kuwa adui yako ana nguvu kukushinda wewe unatakiwa uongeze kinga na kujihadhari.

 

UCHAWI HUU NI WA MAKABURINI.

Kadi hii inawakilisha kuwa una uchawi mkali na uchawi huo ni wa makaburini na kama unatizamia mgonjwa ambaye yuko hoi basi inatakiwa umtibu kwa njia za makaburi na kama una safari ukauliza kuhusu safari yako katika karata tatu za mwanzo utapata kadi hii basi safari yako ni mbaya huenda ukapata ajali.

 

NDOA ITATIMIA.

Ukipata kadi hii kama umeulizwa kuhusu swala la ndoa mjibu kwamba ndoa itatimia hata kama kuna misukosuko.

 

NYOTA IMEWAKA NA KIPATO CHAJA.

Kama umemshuhulikia mtu ukapata kadi hii ina maana mambo yake yamefunguka na kipato kitafunguka kama ni kazi atapata.

 

 

 

 

USHINDI.

Ukipata kadi ya ushindi hii inatabiri mambo mengi,michezo utashinda, mgonjwa atapona, utawashinda maadui, mambo yako yatafunguka, kesi utashinda, na hata kama kuna mtu alikuwa anakufanyia ubaya utamshinda.

 

UTASHINDA ADUI.

Kadi hii inawakilisha kushinda kila aina ya uadui na hata kama ni michezo utashinda na kama mtu anakufanyia ubaya basi ubaya wake utamrudia mwenyewe.

 

MJI UNA MIZUKA.

Kadi hii inawakilisha mji au nyumba ukikutana na kadi hii wakati unauliza kuhusu mambo yako au watoto au familia kwa ujumla utabiri unasema kuwa tatizo lipo kwenye mji.

 

MTAACHANA LAKINI MTARUDIANA.

Ukikutana na kadi hii jua a kwamba hata kama ulikua una fanya dawa za mapenzi, utafanikiwa na kama unauliza kuihusu mpenzi basi atarudi.

 

FANYA IBAADA UTASHINDA.

Ukikutana na kadi hii inakushauri urudi kwa muumba wako ndipo utaondokewa na mitihani, tegemezi lakoliwe kwa muumba wako  na ukifanya dua utafanikiwa haraka sana.

 

UMEFUNGWA.

Ukikutana na kadi hii jua ya kwamba una kifungo, kinaweza kuwa ni cha mizimu au kichawi na pia inaweza kuwa ni kufungo cha kichawi, hapo unatakiwa uendelee na kuokota karata ili kupata jibu sahihi.

 

MARADHI YAMEPITIA SEHEMU ZA SIRI.

Ukikutana na kadi hii jua ya kwamba maradhi yako huenda yakawa ya maambukizi, au maradhi ya kichawi lakini yamepitia sehemu za siri, unaweza kuwa umepata maradhi kwa ajili ya mapenzi pia inaweza kutabiri hivyo.

ILI KUPATA MAFANIKIO TOA SADAKA KWA WATOTO YATIMA.

Ukikutana na kadi hii mwanzo basi unatakiwa kutoa sadaka kwa watoto yatima na hata kama umefanya dua baada ya kumaliza dua yako toa sadaka kwa yatima Dua yako itakuwa makbuur.

 

UNA KALIWA VIKAO AU UTAKALIWA VIKAO.

Kadi hii ina maana nyingi, kwanza kabisa inatabiri kuwa:

1. Unaweza kupata kesi.

2. Kusingiziwa jambo.

3. Kujadiliwa kuhusu kuhusudiwa.

4. Kukalishwa vikao vya suruhu ya ndoa.

5. Mikutani ya mizimu na majini.

6. Kama ni uadui basi maadui ni wengi.

7. Vikao vya kukusema vibaya,NK.

 

 

 

 

SAFARI SALAMA.

unatabiliwa ya kwamba kama una safari utafika salama na hata kama ni kuhusu ndoa itatimia salama bila vikwazo.

 

UCHAWI NI WA MITI NA ULIZIKWA KABURINI.

Hapo unaambiwa ya kwamba unatakiwa kuutoa uchawi wako kwa kutumia njia za makaburi maana umerogewa makaburini pia kuna uwezekano wa kuwa na jinni maiti sababu uchawi huu hubadirika na kujitengeneza kama kivuri cha mfu.

 

UTAPATA MATATIZO KWA AJILI YA MAPENZI.

Kadi hii ina kutabiria kama unapenda ngono uache maana kuna hatari ya kupatwa na mabalaa na hata kama unauliza kuhusu mpenzi wako au mume ukapata kadi hii basi jua kuwa mtu huyo au rafiki huyo atakuingiza matatani, achananae.

 

JAMBO LAKO NI LA FAIDA LAKINI KUNA UZITO.

Kadi hii inawakilisha mambo yote kwa ujumra, lakini kuna uzito wa kufanikiwa, hapo unatakiwa kuendelea na kuokota karata ili ujue sababu ya uzito ina tokana na nini.

 

 

 USIKU WANA KUTOA KICHAWI NA UNAKITU CHINI.

Kadi hii ina maanisha ya kwamba wachawi wana kutumia katika mambo yao au huenda ukawa na muzimu wa kichawi bila kujijua, na mzimu huo unaweza kuwa wa kutupiwa ama wa kurithi, ama inaweza kuwa ni chata ya kichawi ambayo hubandikwa mtu ili arogwe kila aendako.

 

MATESO YAKO NI YA KIJINI FUKUZA.

Kadi hii inawakilisha majini au mizuka, kama umeuliza jambo na ukapata kadi hii basi usihangaike na dawa zingine bali jalibu kuangalia majini hayo ni ya ukoo au ni ya kutupiwa? Maana unaweza kukazana kufukuza jinni kumbendo unaharibu kabisa, endelea kuokota karata zako utapata jibu sahihi.

 

JINI HUYO NI JINI WA UGANGA NA ANAMALI.

Kadi hii inawakilisha kujua kiumbe anae kusumbua kama ni wa kheri au wa shari, hapo jibu unaambiwa kwamba jinni huyo ni wa Uganga na anamiliki mali kwa hiyo ukifanya matakwa yake unaweza kufanikiwa.

 

UKIMUITA KIUMBE ATAKUJA HARAKA SANA.

Kadi hii inawakirisha waitaji wa jinni, mizuka au mizimu, ukifanya kazi ya kuwaita watakuja haraka sana maana unaonekana huna kikwazo katika ufalme wako.

 

ALIKUPATA UKIWA MDOGO.

Kadi hii inasema kuwa kama unauliza kuhusu jinni au mzimu basi jua ya kwamba alikuingia ukiwa mdogo na kuna haja ya kuendelea kuokota kadi ili kujua ya kwamba je ni wa kheri au wa shari.

 

 UTAUA AU UTAUAWA FANYA DUA.

Kadi hii ina kutahazarsha mambo ya mbele na ujichunge na asira maana unaweza kuua bila kukusudia au kwa kukusudia na pia inatabiri kuwa unaweza kuuawa.

Kwa hiyo kama unajambo unalifanya la hatari achananali maana huenda ukauawa, au kama kuna mtu mna uadui nae huenda akakuua, jikinge kwa njia zako uzijuazo.

Sababu ya kuuawa inaweza kuwa kutembea na waume au wake za watu, wizi, udokozi, ujambazi, umbea au hata kupata kwako kwa mafanikio. Mjuzi zaidi ni Mwenyezi Mungu.

 

 NDIYO.

Kama umeuliza jambo na ukapata kadi ya ndiyo inamaana imekubali kwa jambo lako utafanikiwa.

 

KWA NGUVU YA VIUMBE WAKO UTAPATA MAFANIKIO MAKUBWA.

Kadi hii inakwambia kuwa kama una uadui basi viumbe wako watakuepusha na kama ni jambo unafanya utafanikiwa kwa nguvu za viumbe wako na unatakiwa uwajari maana ni msaada wako mkubwa.

 

MAFANIKIO YAPO KWENYE KUSOMA.

Kadi hii inamaana nyingi, kama una mitihani ya ki maisha basi unatakiwa ufanyiwe dua au wewe ufanye duwa kwa ajili ya kuondosha tatizo hilo, na kama ni mwanafunzi basi zidisha masomo maana ndiyo yatakayo kuokoa mbeleni na kama ni mfanyakazi wa selikali na unataka cheo basi kasome tena ndipo utapata kipato kizuli na mafanikio.

 

UTAPATA MALI KUTOKA ARDHINI KWA MSAADA.

Kadi hii inakutabilia wewe mchimba madini au mkulima ya kwamba utapata mali kwa msaada, sasa hapo msaada unatakiwa ujue jee ni msaada kutoka wapi? Endelea kuokota karata ili kupata jibu sahili maana inaweza kuwa msaada wa kijini,mizimu au watu, ndugu au rafiki.

 

 

UTAJIFUNGUA SALAMA.

Kadi hii inamaana nyingi, inaweza kuwa ni kufunguka kwa vifungo, au kujifungua kwa mama mjamzito, au mambo yako kufunguka.

 

UTALIA SANA KWA AJILI YA KUTENDWA NA KUTENGWA.

Kadi hii inataarifa juu ya mapenzi na ujamaa, maana inakutabiria ya kwamba kama una ulizia kuhusu mpenzi basi jua ya kwamba mtakua watu wa kukwazana kila mara na pia sio mtu wako wa kudumu, ni mtu wa kukutesa ki mapenzi kila siku, na kama utauliza kuhusu ushirikiano au mnataka kufanya biashara na mtu basi jua ya kwamba kuna hatari ya kukuzurumu au hata kukuangamiza juu ya mkataba ili abakina mali.

 

UNA KIFUNGO KILA MAHALI NA MAMBO HAYAENDI.

Kadi hii ni mbaya kuliko kado zote maana inafunga kuanzia rizki hadi ki nyota na kilakitu kimekwama au kitakwama na huo ni uchawi au kifungo cha viumbe wako mwenyewe.

 

WFURAHISHE WAZAZI UTAFANIKIWA.

Kadi hii inakwambia kwamba unatakiwa kuwaheshimu na kuwatendea wema wazazi wako ili kupata mafanikio hata kama wazazi wametangulia mbele za haki unatakiwa kuwafanyia duwa na kuwaombea mema ili na wewe ufunguke na utapata mafanikio.

Kwa jambo ulilo uliza ni zuri kama utatenda wema kwa wazazi wote wawili.

 

ATARUDI KWAKO HIVI KARIBUNI.

Kadi hii inautabiri wa mpenzi, mwizi, au mari iliyo kutoka itarudi na kama ni mke au mume alikuacha mtarudiana muda sio mrefu, na kama kuna kazi umefanya ya mapenzi basi kaa ukijua kuwa ina mafanikio.

 

UTAZUILIWA AU KUKAMATWA.

Kadi hii inatabiri:

Biashara.

Safari.

Uchumba utaharibika.

Mzigo utakamatwa.

Biashara itafungwa au hata kama unataka kwenda kuomba kazi sehemu basi utakataliwa.

 

ULITUMIKA UCHAWI WA MDOLI AU TUMIA MDILI.

Kadi hii inatabiri ya kwamba kama una uchawi mwilini basi unatakiwa uutoa kwa kutengeneza mdoli na unatakiwa kuunda na kuutosa kwa manuizi.

 

UTAMBAINI ADUI YAKO AU MWIZI.

Kadi hii ina wakilisha kumbaini adui au kumjua mbaya wako na pia huenda ikatabiri kupatikana kwa mali iliyo ibiwa.

 

NGOMA DROO.

Kadi hii ina wakilisha kutoka salesale, kama ni mpira au mashindano ya aina yoyote na pia inatabiri kushinda kesi kama una shtakiwa na kama unashtaki utashinda, na pia inatabiri kulipwa deni au kumshinda adui yako.

 

NYOTA IMEZIMWA NA MAMBO HAYAENDI.

Kadi hii una mishumaa ambayo imezima ikiwakilisha kukushawishi kusafisha nyota yako ili iwake maana kwasasa haina mvuto na unatakiwa kuwa na mvuto ili mamboyako yaende sawa laa sivyo utaambulia patupu.

Na pia kadi hii inakwambia kuwa huna ushawishi kwa watu sababu ya nyota kutokuwaka.

 

UTAFUNGWA SABABU YA NGUVU ZA GIZA.

Kadi hii inawakilisha mbambo matatu:

(a)kufungwa ki michezi.

(b) kufungwa jera.

(C) kufungwa kipato.

Kama unauliza kipato na ikatoka kadi hii mwanzo ujue kuwa unafungwa kwa nguvu za giza inamaana ya kwamba kuna uadui mbele yako, hal kazalika kama unaulizwa kuhusu michezo jibu ni unauwezo wa kumfunga lakini atakufunga kwa ajiri ya uchawi na sio kwa juhudi za kawaida.

 

UADUI WA JINI MKUU.

Kadi hii inakutabiria kuhusu adui yako kuwa ana nguvu kuliko wewe na anaweza kukushinda na pia kama ni maradhi chunga sana huenda jinni huyo akakudhuru sababu ana nguvu kuliko ufalme wako.

 

WEWE NI MSHINDI KWA MPINZANI WAKO JIAMINI.

Kadi hii inawakilisha ushindi kwa adui na hata kama ni michezo utashinda, na kama ni mchumba utamuoa, na pia inatabiri kuhusu adui yako utamshida tena jiamini.

 

NI KAHABA NA ANATUMIA SANA DAWA.

Kadi hii ina wakilisha muke au mume, kama umeuliza kuhusu swala la uchumba na ukapata kadi hii basi mtu huyo achana nae maana ni mzinifu na anatumia sana nguvu za giza, atakuweka kiganjani, epukana nae haraka sana.

 

  UFALME WAKO UMESTAWI.

Kadi hii inakwambia kwamba, mizimu au majini wako wapo vizuri hawana ubaya na wewe kama una vikwazo jua ni vya kawaidatuu.

 

UTAUAWA NA UFALME WAKO MWENYEWE.

Kadi hii inawakilisha kuwa kinacho kumaliza huenda ikawa ni watu wako wa karibu, mizimu yako mwenyewe, majini yako, ndugu, rafiki au hata mtawala wako au bosi wako, kwa kukaidi maagizo au ahadi.

 

ILI UFANIKIWE KAZURU MAKABURI YA WAZEE.

Kadi hii inakwambia ya kwamba mikwamo yako au ili kufauru katika jambo lako unatakiwa ukazuru kaburi au makaburi ya wazee wako.

 

NI KIGEUGEU

 

Ukikutana na kadi hii ina kujulisha kwamba mtu unae muhitaji au unae taka kufanya nae jambo au alie kuahidi kitu, mtu huyo ni kigeugeu, huenda akatimiza au asitimize sababu ya kukosa msimamo.

VITA NI KALI SANA.

Kadi hii inamaanisha kwamba kama una vita ni kali sana na kama unahitaji kujua juu ya mashindano, yatakua na mchuano mkali sana, na kama ni mgonjwa ugonjwa wake ni mkali sana na huenda akawa karogwa.

UTA ZURUMIWA.

Kadi hii inawakilisha kwamba utazurumiwa haki yako, kama kuna mtu anataka kukukopa au kachukua amana yako jua ya kwamba atakuzurumu.

TIMIZA AHADI.

kadi hii unakutaka utimize ahadi ndipo upate unacho kitaka, na ahadi inaweza kuwa ya tambiko au kuna jambo ulitaka kulifanya na ukaahidi kwamba ukilipata utafanya kitu franu au utafanya tambiko hakikisha unatimiza maana ndo kikwazo kwako.

 

CADI HIZI ZIMEANDALIWA  NA KUANDIKWA NA DR. BABU HAJI, MTAALAMU WA TIBA ASILI TANZANIA.                                                                                                                                                                              

ANATIBU MARADHI MBALI MBALI KAMA VILE,                                                                                                        1. KISUKARI.                                                                                                                                                                                          2. PRESHA.                                                                                                                                                                                                 3. VIDONDA VYA TUMBO.                                                                                                                                                    4. MIGUU KUUMA, KUWAKA MOTO.                                                                                                                                5. MATATIZO YA AKILI (VICHAA).                                                                                                                                                       6. BAWASIRI.                                                                                                                                                                              7. KUFUKUZA MAPEPO.                                                                                                                                                     8. KUFUNGUA VIFUNGO VYA KICHAWI.                                                                                                                                      9. NGUVU ZA KIUME.                                                                                                                                                                          10. UZAZI.                                                                                                                                                                                   11. UVIMBE TUMBONI.                                                                                                                                                              12. KUMUITA ALIE MBALI.                                                                                                                                                        13. KUSAFISHA NYOTA.                                                                                                                                                               14. MVUTO KATIKA BIASHARA.                                                                                                                                                         15. KUTOA MIKOSI KATIKA MWILI,NK.

PIA NINAYO MAFUTA YA AJABU YAITWAYO RADI, NIMAFUTA YENYE UWEZO WA KUTIBU KILA MARADHI NA KUFUKUZA MAJINI AINA ZOTE PIA MAFUTA HAYA YANA MVUTO WA AJABU KATIKA MWILI PIA KATIKA BIASHARA NA KUFUKUZA UBAYA KATIKA MJI,NK.

PIA USIKOSE VITABU VYANGU  VINGINE KWA AJILI YA KUPATA ELIMU ZAIDI YA KUJI TATULIA MATATIZO WEWE MWENYEWE.

1.KITABU CHA TAFSIRI ZA NDOTO,NO1.

2.KITABU CHA TAFSIRI ZA NDOTO,NO2.

3.KITABU CHA TAFSIRI ZA NDOTO,NO3.

4.ELIMU YA NYOTA,NO,1.                                                                                                                                           5.ELIMU YA NYOTA,NO2.

6.MAAJABU YA YASIN,NO1.                                                                                                                                                       7.MAAJABU YA YASINI,NO2.

8.MAAJABU YA YASIN,NO3.                                                                                                                                                     9. MAAJABU YA INNA ANZALNAHU.                                                                                                                                       10. KITABU CHA UFUNGUO,NO1.

11.KITABU CHA UFUNGUO,NO2.

12.MAJINA 28 YA BARAHATIH,NO1.                                                                                                                                                                             13. MAJINA 28 YA BARAHATIH,NO2.                                                                                                                        14. MAAJABU YA MISHUMAA NA UDI.                                                                                                                                                                                  15. KITABU CHA MADAWA MCHANGANYIKO.                                                                                                                                16. MJARUBATI BIN HAJI ,NO1.

17.MJARUBATI BIN HAJI,NO2.

18.MJARUBATI BIN HAJI, NO3.

19.DUA YA MOTO.                                                                                                                                                           20.. KITABU CHA MITI SABA YENYE UWEZO WA KUTIBU KILA MARADHI.                                                                                                            21. KITABU CHA MAFUTA YA AJABU YENYE UWEZO WA KUTIBU MARADHI MENGI NA KUFUKUZA MAJINI.                                                                                                                                                                                  22. KITABU CHA UFUGAJI WA KUKU.                                                                                                                                          23. MAMA AJIFUNGUA NYOKA BAADA YA KUOMBEWA NA MCHUNGAJI.                                                                                                      24. MADAWA NO1.

25.MADAWA NO2.

26.MADAWA NO3.

 27. KITABU CHA MAGONJWA YA MOYO, PRESHA NA KISUKARI(dalili zake na tiba zake)                                                                                                                                                      28. KITABU CHA HADITHI YA JINI MAIMUNA NA KIJANA HAJI UJININI.                                                                                                                               29. KITABU CHA MAUMBILE NA MAANA ZAKE.                                                                  30. KITABU CHA WATAMBUE MAJINI NA DALILI ZAKE.                                                               31. KITABU CHA NGUVU ZA KIUME NA HISIA NA UZAZI.                                                                      32. MAAJABU YA SURAT WAQIA.                                                                                                        33. MADHALA YA ZINAA KATIKA DINI NA KISAYANSI.                                                                                                                                                             34. ELIMU YA HESABU NA UTABIRI,NO1.

35.ELIMU YA HESABU NA UTABIRI,NO2.                                                                               36.ELIMU YA VIUMBE (elimu ya viumbe),NO1.

37.ELIMU YA VIUMBE(elimu ya viumbe),NO2.

38.FUNGUO,NO1.                                              

39. FUNGUO,NO2                                                                                                                                                                                                                                                                                             40. KITABU CHA DUA NZITO YENYE MAJIBU YA HARAKA.                                                                                           

41.DUA MOTO WA YASINI

42.DUA HAKIMU WA KWELI

43.YASINI 41

44.UFUNGUO WA YASINI

45.TIBA MAGONJWA YA KICHAWI NO1

46.TIBA MAGONJWA YA KICHAWI NO2

47. MAAJABU YA MNANAA

48.TIBA ZA KALE

49.TIBA MAGONJWA MCHANGANYIKO                                                                                     50. KITABU CHA MAGONJWA YA KINA MAMA NA DAWA ZAKE.                                                                                                51. KITABU  CHA ELIMU YA KUMSOMA MTU KUTOKANA NA MAUMBILE YA

KUZALIWA NAYO .                                                                                         52.KITABU CHA  HABARI ZA SAA

53. RED BOOK, KITABU CHA MIUJIJA KILICHO BEBA VITABU VYOTE NA MIUJIZA YA KUTOSHA.

54.ABJED NO1

55.ABJED NO2

56.ABJED NO3

57,MITI 7

58.MAHABA NIUWE

59.MAAJABU YA MMBAAZI

60.ELIMU YA TIBA NO1

61.ELIMU YA TIBA NO2

62.ELIMU YA TIBA NO3

63.ELIMU YA TIBA MCHANGANYIKO

64.KITABU CHA MIUJIZA, (HATARI)

65.DUA 33 ZENYE MAJIBU YA HARAKA

66.MAGONJWA YA KINA MAMA NO1

67.MAGONJWA YA KINA MAMA NO2

68.ELIMU DUNIA

69.ELIMU YA MITI KATIKA TIBA NA UCHAWI

70.DUA  YA MNYONGE

71.PIA USIKOSE KITABU CHANGU KIITWACHO UCHAWI WA ZAMANI KILICHO JAA TARASIMU ZA KILA AINA NA ELIMU YA KUTUMIA NAMBA ZA ABJADI NA ELIMU ZA MAJINI NA MAANA YA BAADHI YA MITI NA MATUMIZI YAKE PIA KATIKA KITABU HIKI KINA UCHAWI KWA KUTUMIA SHIKERI. 

KAMA UNAHITAJI KUKUZA ELIMU YA TIBA ASILI NA KUJUA MENGI KUHUSU MAJINI USIKOSE KITABU HIKI.

72.UCHAWI WA ZAMANI NO1

73.UCHAWI WA ZAMANI NO2

74.UCHAWI WA ZAMANI NO3

75.UCHAWI WA ZAMANI NO4

76.UFUGAJI WA KUKU

77.SAYARI

78.DUA HAKIMU WA KWELI

79.HADITHI YA BABU HAJI NA JINI MAIMUNA

80.KISA CHA NABII MUSA

 

 

PIA USIKOSE VITU MUHIMU VIFUATAVYO:-

1.Fimbo ya ajabu ambayo ina nguvu za kutoa mapepo haraka sana na kufanya mambo mengi ya miujiza pamoja na kinga na kujitibu maradhi mbali mbali.

Fimbo hii inapiga wachawi usiku na pia kwa maelezo zaidi ukinunua fimbo hii unapewa na kitabu chake kwa maelezo zaidi na matumizi yake.

 

2. Pete ya ajabu.

Pete hii ni kwa ajili ya  mvuto, kinga, ndoto, mapenzi,cheo kazini na pia pete hii ina kitabu chake cha maelezo na jinsi ya kuitumia.

 

3. Kidani cha ajabu.

Kidani hiki kina uwezo wa kukufungulia njia za kupata mali na kukuonyesha azina ilipo, kukupa njozi za kesho, kukusafisha nyota na pia kidani hiki kina kitabu chake kwa maelezo zaidi.

Kidani hiki unaweza kukitumia na ukamuita jini moja kwa moja au kumuona mchawi moja kwa moja au katika njozi.

Kidani hiki pia ni mvuto hatari sana wa biashara.

 

 

KWA DAR ES SARAM  NAPATIKANA BUGURUNI MALAPA UKISHUKA ULIZA KAMPUNI YA ULINZI YA TURU: NIKO JENGO HILO HILO.

 

 

ZAIDI WASILIANA NA DR.BABU HAJI KWA SIMU NO 0657,555550/767,393934/0712950514. Au tembelea blog, http://hajibabuherbalistclinic.blogspot.com

face book nitafute kwa: babu drhaji

Au tembelea website Babuhaji.com

 

 SH/100000


No comments:

Post a Comment